Naomba tumsapot dada yake wa diamond kaja ni kijuso

Maisha haya ya tanzania sijui yataisha lini baba akiwa jeshi watoto nao lazima wawe majeshi akiwa mwana siasa lazima watoto wafuate huko kwahiyo mondi muimbaji dada yake lazima naye awe msanii lazima apuyange tuuu anaforce kuimba
Kaanza muziki kabla ya diamond
 
Wimbo mbaya kwa kweli hawa wasanii wengine wakongwe wangepumzika tu game ngumu mno sasa hivi
 
Queen Darling rudi ukampigie magoti King Kiba utoke tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ndio ile new 'hit' uliyoniambia itatoka baba?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
cc The bold
Naona katoa nyimbo ili aperfom beach party yao kumbuka alikuwa anaosha vyombo tu studio,
 
Wimbo mbaya.ila mm nimependa pale anasema 'unapenda ganda la ndizi kuterezaa,wakati kupambana hadi mchuzi wa pweza'
Hapo tu pamenikosha. Ila kwingine kooote sielewi Queenkaimba wap,na Raymond kaimba wap. Maana sauti zote za kiume na zinafanana
 
Itakuwa una usingizi.....lala ukiamka sikiliza tena alafu uache kuvuta bange.
Bange nimeacha mwaka 1913,na nimelala na nimeamka nimeona ngoma ni kali zaidi ya nilivyosikiliza mara ya kwanza.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you guys mmeifanya asubuhi yangu poa kabisa.
Asanteni.
Hii misukule ya madale hali yao ishakuwa mbaya inabidi tuwakamate kilazima tuwapeleke kariakoo wakafanyiwe maombi.
 
Ninacho shangaa mm mtoto wa kiume uko against wanaume wenzio %99 duh ww kiboko
Someka basi mkuu,una tatizo na komenti zangu au kuna lingine,maana NIMESIFIA UMENIPONDA na sasa NIMEUPONDA bado unaniponda shida nini ........???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…