Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena akawa boyaKala Jeremiah mtoa maana mwishoni aliunga Juhudi
Naanza na Msanii Roma Mkatoliki. Salute kwake kwa msimamo wake usio na shaka kutetea haki, umoja na ustawi wa taifa letu.
Natamani Mama Samia amkaribishe nyumbani tena aachane na wanafiki.
Haikuhusu maana kwako haki ni kutetea wauaji.Sugu a.k.a muwekezaji[emoji23]
Awa wanafanya biashara, uwezi waona wanafanya mambo ya mihemko.Wasafi?
Sugu ni legend, unawaimbia nyimbo za kupigania haki wanakupeleka bungeni then unajenga hotel. Unaishi ndoto zako.Sugu a.k.a muwekezaji[emoji23]
Ahaaa,haya bwashee.Haikuhusu maana kwako haki ni kutetea wauaji.