Naomba tuweke kumbukumbu kutoka uchaguzi Kenya

Trump2

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,553
Reaction score
2,609
1. Upinzani umekatazwa kuweka kituo cha kuhesabu kura
2. Wapiga kura kupiga kura kurudi nyumbani marufuku kukaa mita 400 karibu na kituo
3. Matokeo kutangazwa bila form zilizosainiwa na mawakala.
4. Wagombea kukubali matokeo.
Nashukuru kuwa haya yote CHADEMA wameyaunga mkono na kurushia maneno kwa mpinzani mwenzao Odinga. Nawakumbusha kuwa na haya yakiwa Tanzania naomba tuyaunge mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…