naomba kuuliza wanaojua nina bima ya afya nimekata march 2023 sh 980000/ sijaitumia mpaka hivi leo mwezi huu wa 9 unaingia.
Nimeenda hospital ya CCBRT kumuona daktari wa mifupa na bima yangu wamenikatalia kumuona mpaka nilete referral namba nawaambia mimi sina hiyo referall namba nataka kumuona daktari wa mifupa wamenikatalia kabisa mpaka niipate hiyo referall namba kutoka hospital nyingi.
Hii imekaaje nimeshindwa kumuona daktari wa mifupa ccbrt mpaka niwe na hiyo kwani nimakosa kwenda direct ccbrt kutibiwa mpaka nianzie sehemu nyingine kutibiwa, wahusika nawauliza nijue hii bima yangu itaisha bila kuchekiwa na kutibiwa maumivu yangu
Nimeenda hospital ya CCBRT kumuona daktari wa mifupa na bima yangu wamenikatalia kumuona mpaka nilete referral namba nawaambia mimi sina hiyo referall namba nataka kumuona daktari wa mifupa wamenikatalia kabisa mpaka niipate hiyo referall namba kutoka hospital nyingi.
Hii imekaaje nimeshindwa kumuona daktari wa mifupa ccbrt mpaka niwe na hiyo kwani nimakosa kwenda direct ccbrt kutibiwa mpaka nianzie sehemu nyingine kutibiwa, wahusika nawauliza nijue hii bima yangu itaisha bila kuchekiwa na kutibiwa maumivu yangu