Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,050
- 747
Wana jamvi.
Mimi ni muoga sana wa malaria na ni ugonjwa ambao huwa unanionea sana, Hi imenifanya kila nikija kutembea nyumbani lazima ninywe full dose ya metakelfin kama kinga, huwa nakunywa vidonge vitatu na baada ya wiki narudia vitatu.
Wiki iliyopita nilisafiri tena kuja nyumbani na na Kenya , na nilipokuwa nanunua dawa Nairobi yule muuzaji akaniambia nahitaji vitatu tu sio zaidi lakini kwa sababu nimezoea kubwia mara mbili nikanunua sita.
Mimi nawaomba washauri hapa jamvini wanipe ushauri.
Je ni lazima ninywe mara mbili hizi metakelfin kama kinga?
Na nikiugua je inakuwaje manake nimezoea kunywa kila baada ya miezi sita nilipokuwa naishi Nyumbani lakini toka nihamie UK nimeacha kunywa kwa sababu huku hakuna mbu.
Naomba ushauri tu jamani tuweke hizi siasa pembeni tushauriane kama ndugu hapa please
Ahsanteni
cc MziziMkavu
Mimi ni muoga sana wa malaria na ni ugonjwa ambao huwa unanionea sana, Hi imenifanya kila nikija kutembea nyumbani lazima ninywe full dose ya metakelfin kama kinga, huwa nakunywa vidonge vitatu na baada ya wiki narudia vitatu.
Wiki iliyopita nilisafiri tena kuja nyumbani na na Kenya , na nilipokuwa nanunua dawa Nairobi yule muuzaji akaniambia nahitaji vitatu tu sio zaidi lakini kwa sababu nimezoea kubwia mara mbili nikanunua sita.
Mimi nawaomba washauri hapa jamvini wanipe ushauri.
Je ni lazima ninywe mara mbili hizi metakelfin kama kinga?
Na nikiugua je inakuwaje manake nimezoea kunywa kila baada ya miezi sita nilipokuwa naishi Nyumbani lakini toka nihamie UK nimeacha kunywa kwa sababu huku hakuna mbu.
Naomba ushauri tu jamani tuweke hizi siasa pembeni tushauriane kama ndugu hapa please
Ahsanteni
cc MziziMkavu