Habarini wana jamvi.
Ndugu zangu kwa yeyote anaejua juu ya elimu/taaluma inayotolewa na hivi vio vyetu vya ufundi stadi/veta nilikuwa naomba anisahidie katika hili na ikiwezekana achimbe ndani zaidi,
Muhitimu wa veta anatambulika ktk soko la ajira?
kunauwezekano wa kuendelea na elimu ya juu kwa kupitia veta?
Ahsanteni natumaini kupata ufafanuzi mzuri .
Ndugu zangu kwa yeyote anaejua juu ya elimu/taaluma inayotolewa na hivi vio vyetu vya ufundi stadi/veta nilikuwa naomba anisahidie katika hili na ikiwezekana achimbe ndani zaidi,
Muhitimu wa veta anatambulika ktk soko la ajira?
kunauwezekano wa kuendelea na elimu ya juu kwa kupitia veta?
Ahsanteni natumaini kupata ufafanuzi mzuri .