Naomba ufafanuzi juu ya Kodi ya Jengo

Naomba ufafanuzi juu ya Kodi ya Jengo

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau nimemsikia Waziri akitangaza kuhusu KODI ya Jengo kuwa Kila NYUMBA yenye UMEME Kodi hiyo italipwa Kwa kukataa kwenye LUKU. Naomba kujua Machache.

1. Kodi ya Jengo ni Kiasi gani?
2. Je, Kiwanja kama ni kimoja kina Nyumba 3 na kila Nyumba ina LUKU Je Nyumba zote 3 zinalipa KODI?
3. Nakumbuka Serikali iliwahi kusema Kodi ya Jengo inalipwa sh 10,000/= kwa Kiwanja hata kama Kiwanja kina Nyumba 3 kwa sababu zote ziko kwenye Kiwanja kimoja je Utaratibu huu utaendelea?
 
Wadau nimemsikia Waziri akitangaza kuhusu KODI ya Jengo kuwa Kila NYUMBA yenye UMEME Kodi hiyo italipwa Kwa kukataa kwenye LUKU. Naomba kujua Machache.

1. Kodi ya Jengo ni Kiasi gani?
2. Je, Kiwanja kama ni kimoja kina Nyumba 3 na kila Nyumba ina LUKU Je Nyumba zote 3 zinalipa KODI?
3. Nakumbuka Serikali iliwahi kusema Kodi ya Jengo inalipwa sh 10,000/= kwa Kiwanja hata kama Kiwanja kina Nyumba 3 kwa sababu zote ziko kwenye Kiwanja kimoja je Utaratibu huu utaendelea?
Kamuulize Polepole ndie aliwaandalia haya majanga yote
 
Back
Top Bottom