Naomba ufafanuzi juu ya uwekezaji bora wa kupanda na kuuza miti kwa ajili ya mbao

Naomba ufafanuzi juu ya uwekezaji bora wa kupanda na kuuza miti kwa ajili ya mbao

Dr Luu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2016
Posts
489
Reaction score
386
Habari, naomba ufafanuzi kidogo kwa mwenyewe uelewa juu ya uwekezaji Bora wa kupanda na kuuza miti KWA AJILI ya mbao. Juu ya aina Gani ya mititi inasoko na faida nzuri na hauchukui muda mrefu sana kukua na kuvunwa.

Nawasilisha mjadala shukran.
 
Habari, naomba ufafanuzi kidogo kwa mwenyewe uelewa juu ya uwekezaji Bora wa kupanda na kuuza miti KWA AJILI ya mbao. Juu ya aina Gani ya mititi inasoko na faida nzuri na hauchukui muda mrefu sana kukua na kuvunwa.

Nawasilisha mjadala shukran.
Miti Ya matunda ni uwekezaji mzuri zaidi mbao..Miparachichi,milimao,mipapai,miembe,migomba,michungwa,nk.. Kutegemeana na sehemu,,,,lkn ni vyema kushirikiana na wadau hasa wazoefu.
 
Back
Top Bottom