lwa kalolo
Senior Member
- Nov 24, 2014
- 173
- 94
Mkuu inategea na hakimu,ila mara nyingi order ya kurudishwa mahabusu uwa inatolewa hapo hapo...!!Nashukuru kwa ufafanuzi, lakini je kutoudhullia na ikiwa wewe ndo mshitakiwa mahakama inaweza toa kibari utafutwe siku hiyohiyo?