amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 463
Habari za muda huu wakuu ninaomba msaada wa kutaka kujua sheria inasemaje endapo shahidi atataka ,kudhamiria kuharibu au kukwepa ushahidi wa kesi Fulani.
Kama nikimpeleka mtu mahakamani na nikamtaja mtu Fulani ni shahidi wa hiZo tuhuma na akakwepa kutoa ushahid je kuna sheria inayoadhibu juu kosa la kuvuruga ushahidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nikimpeleka mtu mahakamani na nikamtaja mtu Fulani ni shahidi wa hiZo tuhuma na akakwepa kutoa ushahid je kuna sheria inayoadhibu juu kosa la kuvuruga ushahidi?
Sent using Jamii Forums mobile app