Okay. Thanks. Nitaongeza juhudi za kuseach petrol cars zaidi.Diesel ni high maintenance kuliko petrol engine. Diesel is more susceptible to mafuta machafu ya bongo kuliko petrol engine. Mzee ukiweka diesel chafu injectors zikifa utaambiwa moja £1500 macho yatakutoka. Ya petrol inavumilia kidogo. Kwa bongo achukue petrol engine.
NB: Nazungumzia matumizi hapa Tz
Ilishawahi tokea hili pia.Nina rafiki yangu walimuwekea mafuta machafu kwenye Ford Ranger, katumia 7m kubadili injectors. Tena ni refurbished injectors.
Hii kuna jamaa aliweka mafuta ya kupimwa kutoka kwenye tanki la lori kwa kuuziwa bei ndogo na dereva. Gari ilikuwa ni Discovery 3 baada ya muda mfupi gari ikawa inasumbua sana.Nina rafiki yangu walimuwekea mafuta machafu kwenye Ford Ranger, katumia 7m kubadili injectors. Tena ni refurbished injectors.
Nadhani hoja ya kuwa na Diesel safi Europe ndo inawapa ujasiri wa kuzimiliki.Diesel inakupa higher miles per gallon. Diesel ya Ulaya ni safi, Diesel engine inapiga mzigo,SUV Europe unakuta mtu anaburuza motor home, au mkandarasi anaburuza trailer ina tools. Kingine wazungu wachumi sana wanaangalia ipi inatumia mafuta vizuri ambapo diesel inakuwa juu. Ungekuwa unaitumia Europe ningemushauri diesel engine hata parts huko ni cheaper,ila hapa Tz sikushauri uchukue diesel.
Lazima afanye hivyo vinginevyo itamcost.Nadhani hoja ya kuwa na Diesel safi Europe ndo inawapa ujasiri wa kuzimiliki.
Nna jamaa angu ana Benzi GLS mpya kabisa Diesel, namuonea huruma anavyochagua vituo vya mafuta. Anaweza safiri hata km 70 kufuata diesel toka Puma au Total.
Nakumbuka kipindi uchakachuaji umekolea gari zilikufa nozzles balaa hasa vvti na d4 za kijapani. Ndio ilikuwa mwanzo wa mafuta ya taa kupanda bei na uchakachuaji kuisha.Gari za diesel za kisasa hata iwe ya Japan inabidi uwe mtu makini kwenye uwekaji mafuta kabla hujajuta.
Mafuta ya kidebe hata ukikuta Lita ni sh 1000 waachie wenye gari za miaka ya 90.
Ndio maana kwangu mimi 1HZ ndio injini bora hata uweke mafuta ya kidebe itamiss kisha utaendelea na safari.
Nakumbuka Prado 1kd nazo mafuta machafu kidogo unanunua injectors! Tushazipeleka sana kwaw jamaa mmoja kule Mabibo amarekebisha injectors.Gari za diesel za kisasa hata iwe ya Japan inabidi uwe mtu makini kwenye uwekaji mafuta kabla hujajuta.
Mafuta ya kidebe hata ukikuta Lita ni sh 1000 waachie wenye gari za miaka ya 90.
Ndio maana kwangu mimi 1HZ ndio injini bora hata uweke mafuta ya kidebe itamiss kisha utaendelea na safari.
Saizi mikoani watu wenye gari za mjapani hasa Prado na Hilux wanaweka mafuta ya kidebe. Baada ya muda mfupi gari zinaua nozzle wengine mpaka pump.Nakumbuka kipindi uchakachuaji umekolea gari zilikufa nozzles balaa hasa vvti na d4 za kijapani. Ndio ilikuwa mwanzo wa mafuta ya taa kupanda bei na uchakachuaji kuisha.
Daa! Umeelezea vizuri saana aise. Safi sana.Diesel inakupa higher miles per gallon. Diesel ya Ulaya ni safi, Diesel engine inapiga mzigo,SUV Europe unakuta mtu anaburuza motor home, au mkandarasi anaburuza trailer ina tools. Kingine wazungu wachumi sana wanaangalia ipi inatumia mafuta vizuri ambapo diesel inakuwa juu. Ungekuwa unaitumia Europe ningemushauri diesel engine hata parts huko ni cheaper,ila hapa Tz sikushauri uchukue diesel.
Huku tunajua kila gari dogo ni petrol tu.Hahahaaa unenikumbusha mbali sanaView attachment 1520357
Miaka ya 2010-2011 nilikua na Avensis kama hii toka UK kila siku nilikua nabishana na wahudumu sheli. Sedan Inatumia Diesel😄😄