Naomba ufafanuzi katika masuala haya kutoka katika Chuo Kikuu cha DMI

Naomba ufafanuzi katika masuala haya kutoka katika Chuo Kikuu cha DMI

ABDUL-LATIF

Member
Joined
Oct 18, 2017
Posts
8
Reaction score
0
Nimechaguliwa DMI bachelor Maritime Transportation lakini sina ufahamu wowote kuhusu hii kozi? Then ni kozi gani nzuri kati ya Maritime Transportation na Marine Engineer?
 
mkuu nakuambia kuwa nenda hizo kozi Mzuri kwa kweli, but mchawi uwe na pesa ya kujikimu tu maana nadhani ada unalipa mwenyewe.

NOTE: KUNA WAKATI UNABIDI KWENDA KUOGELEA KWENYE MAJI YA KUPITA MELI, KAMA HAUWEZ KUOGELEA UNAENDA kufanya MAZOEZI KWENYE SWIMMING POOL
 
Mimi nilimaliza hapo

Soma ukiwa unatunza pesa kwaajili ya kununua kazi(nje ya nchi) la sivyo utapotea

Ajira za marine zimeshikwa na watu hivyo ni vigumu kutoboa

Nenda ukasome ila kuwa makini na inabidi uwe mtu wa kuwasumbua watu ili wakupe channel
 
Mimi nilimaliza hapo

Soma ukiwa unatunza pesa kwaajili ya kununua kazi(nje ya nchi) la sivyo utapotea

Ajira za marine zimeshikwa na watu hivyo ni vigumu kutoboa

Nenda ukasome ila kuwa makini na inabidi uwe mtu wa kuwasumbua watu ili wakupe channel
sorry mkuu ivi hapo DMI jeshi la wananchi huchukua vijana au ni story tuu za mtaani?
 
sorry mkuu ivi hapo DMI jeshi la wananchi huchukua vijana au ni story tuu za mtaani?
Ilikua zaman saiv hakuna kitu kama hicho mm nakupa ukweli ili usidanganyike na ukifika pale mtadanganyana sana. Ila kikubwa ni kujipanga andaa dola 15000 ili ukimaliza mambo yasiwe magumu ukitaka kununua kazi za nje
 
asante mkuu.... vp lakin nje uhakika upo? nchi zp hasa soko lipo vzuri, sisi wengine hatuna connection
Sio rahisi kama unavodhani nako kunachangamoto zake.. Ila ukishafanikiwa kupata class 3 ndo basi tena unakua ushatoboa maisha yanakua kitonga hapo kazi zinakua nyingi had unazikimbia yani unakua unaringa
 
mkuu nakuambia kuwa nenda hizo kozi Mzuri kwa kweli, but mchawi uwe na pesa ya kujikimu tu maana nazan ada unalipa mwenyewe

NOTE: KUNA WAKAT UNABIDI KWENDA KUOGELEA KWENYE MAJI YA KUPITA MELI, KAMA HAUWEZ KUOGELEA UNAENDA kufanya MAZOEZI KWENYE SWIMMING POOL
Inamaana mkopo ni ngumu kupata
 
Mimi nilimaliza hapo

Soma ukiwa unatunza pesa kwaajili ya kununua kazi(nje ya nchi) la sivyo utapotea

Ajira za marine zimeshikwa na watu hivyo ni vigumu kutoboa

Nenda ukasome ila kuwa makini na inabidi uwe mtu wa kuwasumbua watu ili wakupe channel
Nawewe umenunua kazi?
 
Sio rahisi kama unavodhani nako kunachangamoto zake.. Ila ukishafanikiwa kupata class 3 ndo basi tena unakua ushatoboa maisha yanakua kitonga hapo kazi zinakua nyingi had unazikimbia yani unakua unaringa
Big up kumbe unajua unajua unachosema
 
Hapo ndo wabongo tunapo feli unapewa siri za kivita halafu unamuuliza alokupa siri kama nayeye amewahi kuzitumia au laa

Ushaambiwa ipo ivo sasa why unaniuliza swali la kipuuzi hilo
Sio ivo mkuu jf ipo kwaajr ya kujifunza na bira ww watu hatuwez jua
 
Poa mkuu ila maelezo yako yamenitisha, niko apo dmi nasoma btcmo (basic technician certificate in maritime operation) nimeingia pale chuon nawaza nikmaliza ntaenda wapi maana bongo hatuna meli. Nilianzisha uzi watu wakanishauri nipige marine engineering, dah kiukweli umeniweka tumbo joto
 
Poa mkuu ila maelezo yako yamenitisha, niko apo dmi nasoma btcmo (basic technician certificate in maritime operation) nimeingia pale chuon nawaza nikmaliza ntaenda wapi maana bongo hatuna meli. Nilianzisha uzi watu wakanishauri nipige marine engineering, dah kiukweli umeniweka tumbo joto
Usijari wewe soma ila ndo ivo usome ukiwa unazichanga au uwaambie kabisa kwenu kwamba ukimaliza wakupe support ya hela ya kuvuka boda ukisubiri vya bure utaumbuka

Mimi nina rafiki wengi hawakutaka kuwekeza na mpaka leo wapo wanasugua soli

Bora mtu akuambie ukweli kuliko kudanganywa halafu mwisho wa siku ukaanza kuhangaika ni bora ujipange mapema
 
Back
Top Bottom