Naomba ufafanuzi kuhusu BSc ya Information System

Naomba ufafanuzi kuhusu BSc ya Information System

Melxcom991

Senior Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
101
Reaction score
115
Wakuu samahanini nilikuw naomba ufafanuzi kuhusu bachelor of science in information system kwenye upatikanaji ajira na hata pia uwezo wa kujiajiri binafsi kama inawezekana?
 
Nadhani hii ni IT Tu, kiujumla ajira zipo Ila inabidi ujue na uwe competent Kwa sababu opportunity zipo na ushindani Pia ni mkubwa.

Itakubidi utengeneze projects ambazo watu watakiwa wanatumia(real life projects) ukiwa bado unasoma usisubiri umalize chuo.
 
Nadhani hii ni IT Tu, kiujumla ajira zipo Ila inabidi ujue na uwe competent Kwa sababu opportunity zipo na ushindani Pia ni mkubwa.

Itakubidi utengeneze projects ambazo watu watakiwa wanatumia(real life projects) ukiwa bado unasoma usisubiri umalize chuo.
kaka kunauwezekano wakujiajiri binfsi kwa hii course?
 
Back
Top Bottom