Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Jeep yako ile vipi ipo? machine sana ile si ina 5.2L ? unyama sana.. card na cash havina tofauti ππππ sema moja hela ki digital ingine hela hardcopyZaidi ukipata lile Wese la kuweka kwa Card...
Hutaki kuona ule mshale umesogea..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeep gani hilo we'Mzee??Jeep yako ile vipi ipo? machine sana ile si ina 5.2L ? unyama sana.. card na cash havina tofauti [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema moja hela ki digital ingine hela hardcopy
Ile jeep kama damu ya mzee ππJeep gani hilo we'Mzee??
Kwa Cash inaletaga nidhamu sana..hata kuwasha AC unaotea..lile la kuweka kwa Card si unajua tena...Hapo Card kila mwezi inawekwa lita kadhaa..Na humalizi..
Kinachofuta unaenda kuwauzia Pump attendant...Bado watataka na % yao[emoji2].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile jeep kama damu ya mzee [emoji3][emoji3]
Au unazungumzia lile Jeep la Blandina?[emoji23]Ile jeep kama damu ya mzee [emoji3][emoji3]
nilikuona nayo kama hii bwanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifanya nicheke sana HM...
Mimi sina gari bhana..
Ila maisha ya JF si unajua namna yanatupeleka...Humu lazima kila kitu Uwe nacho...Nyumba nzuri,gari nzuri na kadhalika..
Kama huna ni kesi nyingine[emoji28]
ππππ Brandina si rafiki yako.. ndio maana mlichukua ya kufanana eehAu unazungumzia lile Jeep la Blandina?[emoji23]
Maana wewe?
Jehovah!!! I receive IJN...nilikuona nayo kama hii bwanaaaView attachment 2162968
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Brandina si rafiki yako.. ndio maana mlichukua ya kufanana eeh
si mshikaji wako.. sema lako zuri zaidi.. Ivi si ulilichukua na 0km ππJehovah!!! I receive IJN...
Hilo la yule Dada B!..Si unamjua[emoji28]
Umechukua lingine πππ unatishaaa lift basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe bhana wewe..Mimi nina DYR 11...[emoji23]
Niache Wewe Kijana..[emoji2]si mshikaji wako.. sema lako zuri zaidi.. Ivi si ulilichukua na 0km [emoji4][emoji4]
Nasubiria kupanda Audi mimi...Umechukua lingine [emoji12][emoji12][emoji12] unatishaaa lift basi
Ipo siku nitapita na marker pen nitie chata ππNiache Wewe Kijana..[emoji2]
Umenunua na Audi tena, umechua aina gani?Nasubiria kupanda Audi mimi...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ipo siku nitapita na marker pen nitie chata [emoji3][emoji3]
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]Umenunua na Audi tena, umechua aina gani?
nikiweka HM utakuwa umeelewa ni mimi ππ[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
najua utakuwa umechukua Q5 nigee lift au tuchape road trip moja matata[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
Wewe!!! Wewe! Wewe!najua utakuwa umechukua Q5 nigee lift au tuchape road trip moja matata