Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari za Honda hazina mashaka kabisa, ni wewe tu kuwa na fundi wa uhakika wa khangaika na mifumo yake nayo itadumu! Nadhani katika soko la marekani huyu ndiye best seller akichuana na ToyotaHaya ndugu na marafiki, nakuja kwenu ili nipate uzoefu wa Honda CR-V uzuri wake na changamoto zilizonazo, mambo yakienda sawa nataka kumiliki gari hii.
Nawakilisha kwa maoni zaidi.
View attachment 1759362
Honda CV-V
Nlikuwa nayo ila ni model ya zamani kidogo tatizo ni kwenye spare kioo cha mbele kushoto kilipasukaga nlikitafuta nikakosa nikaweka cha hiluxHaya ndugu na marafiki, nakuja kwenu ili nipate uzoefu wa Honda CR-V uzuri wake na changamoto zilizonazo, mambo yakienda sawa nataka kumiliki gari hii.
Nawakilisha kwa maoni zaidi.
View attachment 1759362
Honda CV-V
Spares za kawaida kwa ajili ya services huwa zinapatikana mkuu?Nlikuwa nayo ila ni model ya zamani kidogo tatizo ni kwenye spare kioo cha mbele kushoto kilipasukaga nlikitafuta nikakosa nikaweka cha hilux
Za kawaida zipo sanaSpares za kawaida kwa ajili ya services huwa zinapatikana mkuu?
Bei zake ni sawa na za magari ya Toyota mkuu?Za kawaida zipo sana
HapanaBei zake ni sawa na za magari ya Toyota mkuu?
Bei zake zipoje ukilinganisha na za Toyota?Hapana
😁Nlikuwa nayo ila ni model ya zamani kidogo tatizo ni kwenye spare kioo cha mbele kushoto kilipasukaga nlikitafuta nikakosa nikaweka cha hilux
Kadogodogo sanaNunua Honda Fit.. Thanks me later
Honda Bongo na mafundi wetu Lazima kichwa kikuumeGari za Honda hazina mashaka kabisa, ni wewe tu kuwa na fundi wa uhakika wa khangaika na mifumo yake nayo itadumu! Nadhani katika soko la marekani huyu ndiye best seller akichuana na Toyota
PoleNlikuwa nayo ila ni model ya zamani kidogo tatizo ni kwenye spare kioo cha mbele kushoto kilipasukaga nlikitafuta nikakosa nikaweka cha hilux
Maisha gani hayo?Pole
Labda upate ajali tu ,lakini vinginevyo utalitumia mpaka ufurahiHonda Bongo na mafundi wetu Lazima kichwa kikuume
Sizungumzii Honda pikipikiLabda upate ajali tu ,lakini vinginevyo utalitumia mpaka ufurahi
Ni wapi nimeandika pikipiki?Sizungumzii Honda pikipiki