Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 547
- 554
Natanguliza shukrani wakuu,
Naomba mnieleweshe kidogo, hivi Gari hizi ndogo (HONDA FIT) zenye ukubwa wa engine 1.3 sawa na (cc 1330) zinaweza kuruhusiwa kufanyiwa biashara ya usafirishaji wa abiria kwa jijini Dsm? maana binafsi nazikubali sana sema sijawah kuziona zikibeba abiria kama Uber je tatizo kubwa ni nini?
Maana nilipitia mitandaoni nikaona zina bei nafuu kidogo dollar CIF 1820 mpaka bandarini lakin naona watu wamekomaa zaidi na gari za Toyota mfano IST, Vitz, Fun cargo nk.
nini kinafanya magari haya ya honda (Honda Fit) yasitumike kibiashara? nikihitaji kununua gari yangu ya honda niifanyie Uber mamlaka zinaruhusu? maana naona Engine zako ni ndogo tu 1.3.
Asanteni naomba mnifumbue macho kidogo.
Naomba mnieleweshe kidogo, hivi Gari hizi ndogo (HONDA FIT) zenye ukubwa wa engine 1.3 sawa na (cc 1330) zinaweza kuruhusiwa kufanyiwa biashara ya usafirishaji wa abiria kwa jijini Dsm? maana binafsi nazikubali sana sema sijawah kuziona zikibeba abiria kama Uber je tatizo kubwa ni nini?
Maana nilipitia mitandaoni nikaona zina bei nafuu kidogo dollar CIF 1820 mpaka bandarini lakin naona watu wamekomaa zaidi na gari za Toyota mfano IST, Vitz, Fun cargo nk.
nini kinafanya magari haya ya honda (Honda Fit) yasitumike kibiashara? nikihitaji kununua gari yangu ya honda niifanyie Uber mamlaka zinaruhusu? maana naona Engine zako ni ndogo tu 1.3.
Asanteni naomba mnifumbue macho kidogo.