Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2013 CC 2180

Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2013 CC 2180

lucasm00

Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
48
Reaction score
42
Habari wakuu..! Naomba mwenye uzoefu na hii gari kwa ujumla naoona imekaa poa ata kodi yake ipo vizuri.

Screenshot_20210915-095826_Chrome.jpg
Screenshot_20210915-095358_UC%20Browser.jpg
 
Achana nayo km una hela ya wasiwasi inaonesha umeme mwingi na vipuri vyake adimu Tz
Shukrani kiongozi lakini kwa miaka ya saizi ishu ya umeme na vipuri sio tatzo sana kwa Tz ata madealers wapo wengi
 
Hizi kwa sasa kenya wametokes kuzielewa sana ,imekuwa ndio sare ya Taifa ni gari nzuri sana hasa ukipata yenye engine ya dizel

Upande wa spare kwa sasa usihofu uzur engine spare parts zina share na mazda cx 5 ,

Ni gari yenye power na inautulivu mkubwa sana barabarani

Umefanya chaguo sahihi ,achana na manazi wa Toyota

sent from HUAWEI
 
Kodi ya hiyo gari itakuwa kubwa kuliko ilivyokadiriwa na TRA calculator

Kwa hiyo ikifika Bongo TRA watatumia CIF ya BF.

Is it possible??


Kwanini system ikosee makadirio

Kwa mwenye kujua zaidi msaada

Ni kweli unaeza agiza gari then kodi ikatofautiana na iliyopo kene calculator zao TRA
 
Vijana wa kigamboni ndiyo magari Yao haya...hata kimuonekano Mazda atenza zimekaa poa sana
 
Is it possible??


Kwanini system ikosee makadirio

Kwa mwenye kujua zaidi msaada

Ni kweli unaeza agiza gari then kodi ikatofautiana na iliyopo kene calculator zao TRA
TRA huwa wanafanya makadirio yao na ndo wanaweka kwenye mfumo. Sasa endapo utaingiza gari ikiwa na bei kubwa kuliko waliokadiria wao itabidi watumie bei uliyonunulia wewe kufanya makadirio yao.

Kwa maneno mengine ukiwa na mfuko wa kuunga kama wangu na unataka kununua gari hakikisha una bargain kwa kuzingatia CIF ya TRA vinginevyo jiandae kulipa kodi ya kile kiasi kinachozidi. Mfano kama CIF ya TRA kwenye gari husika $3000 ila gari uliyopenda CIF inasoma$4000 TRA watataka kodi ya hiyo $1000 iliyozidi.
 
TRA huwa wanafanya makadirio yao na ndo wanaweka kwenye mfumo. Sasa endapo utaingiza gari ikiwa na bei kubwa kuliko waliokadiria wao itabidi watumie bei uliyonunulia wewe kufanya makadirio yao.

Kwa maneno mengine ukiwa na mfuko wa kuunga kama wangu na unataka kununua gari hakikisha una bargain kwa kuzingatia CIF ya TRA vinginevyo jiandae kulipa kodi ya kile kiasi kinachozidi. Mfano kama CIF ya TRA kwenye gari husika $3000 ila gari uliyopenda CIF inasoma$4000 TRA watataka kodi ya hiyo $1000 iliyozidi.

Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom