High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Achana Nayo. You will thank me later.
Umejumlisha na ushuru au?Ok asante toleo gani la bmw ambalo nikinunua halisumbui na hela ya kawaida kama dola 2000
Sent using Jamii Forums mobile app
Dak BMW e46 mwaka 2002 hadi 2004 M Sports package. Hapo kwenye mwaka nipo serious.
Hapa mjerumani alipotulizaga kichwa aisee.
View attachment 1446789
Mini copper ni official car ya mashoga almost dunia nzima
The good, the bad and the ugly.
Google utapata taarifa zaid
Mini copper ni official car ya mashoga almost dunia nzndo gari ya Ngolo kante hii.
The good, the bad and the ugly.
Acha ujinga..!Mini copper ni official car ya mashoga almost dunia nzima
The good, the bad and the ugly.
Vile ilikuwa hawajaanza kujaza umeme kwenye kila kitu na hakikuwa na hizo RFT zao. Ila hata facelifted e90 haina shida nyingi.Dak BMW e46 mwaka 2002 hadi 2004 M Sports package. Hapo kwenye mwaka nipo serious.
Hapa mjerumani alipotulizaga kichwa aisee.
View attachment 1446789
Dak BMW e46 mwaka 2002 hadi 2004 M Sports package. Hapo kwenye mwaka nipo serious.
Hapa mjerumani alipotulizaga kichwa aisee.
View attachment 1446789