Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Habari za mdaa huu wadau,
Mwenye uelewa kuhusu Nissan Hardboy anisaidie kujua
1. Kama ni gari imara hasa kwenye barabara zetu za vijijini
2. Ulaji wa mafuta
3. Upatikanaji wa spea na mafundi.
Nawakilisha
Nissan Hardboy (pick up)
Mwenye uelewa kuhusu Nissan Hardboy anisaidie kujua
1. Kama ni gari imara hasa kwenye barabara zetu za vijijini
2. Ulaji wa mafuta
3. Upatikanaji wa spea na mafundi.
Nawakilisha
Nissan Hardboy (pick up)