B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Bro Subaru itakusumbua spare zake gharama. Baki kwenye Toyota Mzee, Bora umiliki hata premioJamani nimekuwa kwenye vitz (cc 990) yangu kwa miaka kibao ni gari ambayo imenipokea vizuri sana kwenye ulimwengu wa kumiliki magari (kwa kijana kama ndio kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa magari vitz hutojuta) sasa bhana nimepata chochote kitu nataka ku upgrade na recommended subaru legacy yenye turbo nimeipenda sana. Msaada naomba mwenye kuijua vizuri kunichambulia gari hii
Hiyo kitaalaam tunaita umepanda kiuchum si ndiyo kaka sasa we angalia nunua hiyo subaru nashaur vitz usiiuze itakuja kukusaidia ukikwama service ya subaruuuJamani nimekuwa kwenye vitz (cc 990) yangu kwa miaka kibao ni gari ambayo imenipokea vizuri sana kwenye ulimwengu wa kumiliki magari (kwa kijana kama ndio kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa magari vitz hutojuta) sasa bhana nimepata chochote kitu nataka ku upgrade na recommended subaru legacy yenye turbo nimeipenda sana. Msaada naomba mwenye kuijua vizuri kunichambulia gari hii
kama zinapatikana sio mbayaBro Subaru itakusumbua spare zake gharama......Baki kwenye Toyota Mzee, Bora umiliki hata premio
š š š kidogo kaka nataka changamoto mpyaHiyo kitaalaam tunaita umepanda kiuchum
dooooh ila linaperform sana nasikia. Sija bahatika kuligusaGari zuri sana.
Kikubwa kumbuka tu zile gharama za vitz kwenye Maintenance & service, approximately zidisha mara 3 hivi.
dooooh hiv inaenda km/ltrNunua Subaru mkuu gari zuri ila budget yako ya mafuta ya week zidisha mara 3!
Kuna jamaa yangu analo naonaga linasomaga 6-7 km/l likichanganya speed linafika 8km/l.dooooh hiv inaenda km/ltr
almost twice ya vitzKuna jamaa yangu analo naonaga linasomaga 6-7 km/l likichanganya speed linafika 8km/l.
Difference lazma ui feel mwamba yani toka 16km/L mpaka 8Km/L safari za sheli za hapa na pale lazima.
mkuu 1m kweliKaka niuzie hiyo vitz kwa 1m we si hauna shida nayo
Najua haitoshi ila kuliko kulifungia nibariki tu mkuumkuu 1m kweli
Chukua hiyo subaru ila vitz usiiuze itakuwa inakusave siku ukiipiga service au kama hela ya mafuta imebaki kidogoJamani nimekuwa kwenye vitz (cc 990) yangu kwa miaka kibao ni gari ambayo imenipokea vizuri sana kwenye ulimwengu wa kumiliki magari (kwa kijana kama ndio kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa magari vitz hutojuta).
Sasa bhana nimepata chochote kitu nataka ku upgrade na recommended subaru legacy yenye turbo nimeipenda sana. Msaada naomba mwenye kuijua vizuri kunichambulia gari hii.
View attachment 1739405
Subaru Legacy
Mawazo mabaya haya ya kudumazaBro Subaru itakusumbua spare zake gharama. Baki kwenye Toyota Mzee, Bora umiliki hata premio
Huwa zikimbia hizi gari kweli.. kinachofanya pia nisizipende sana hizi gari mengi yao yana turbo. Na mie na gari inayotumia turbo hatupatani kabisa.. sizipendiNunua Subaru mkuu gari zuri ila budget yako ya mafuta ya week zidisha mara 3!