Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Suzuki Swift Old generation

Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Suzuki Swift Old generation

Madewa

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
467
Reaction score
189
Habari zenu wakuu,

Naomba uzoefu kwa ambaye ameshawahi kuitumia hii gari (Swift) anipe uzoefu wake kwenye mambo yafuatayo:
1. Uimara kwenye barabara zetu za mikoani.
2. Upatikanaji wa spare parts
3. Matumizi yake ya mafuta
4. Comfortability
Gari inategemewa kutumika sehemu za milimani mara kadhaa na tambarare zaidi... barabara ya vumbi

Note
Hii itakuwa ndiyo gari yangu ya kwanza
Bajeti yangu ni 8m
Kama kuna gari mbadala kwa bajeti hiyo pia napokea ushauri.
Karibuni!
 
No gari nzuri ina sifa zote za kuitwa gari,nimeenda nayo Mwanza na kurudi bila tatizo lolote.....Yaani naipenda km mke wangu wa pili.
 
1.
Habari zenu wakuu...
Naomba uzoefu kwa ambaye ameshawahi kuitumia hii gari (Swift) anipe uzoefu wake kwenye mambo yafuatayo:
1. Uimara kwenye barabara zetu za mikoani...
1. Inahitaji umakini kwenye kuendesha kwenye barabara mbovu sababu suspension components zake sio imara kivile.

2. Spare parts zinapatikana japo sio kwa wingi kama za Toyota, so sometimes bei zake zinakuwa juu. Inashare parts na Chevrolet Cruze.

3. Inatumia mafuta kidogo hasa kwa matumizi ya mjini.

4. Cabin yake ni ndogo. Kama ni bonge utakuwa unagusana na abiria wako, so kwa mtazamo wangu, ni wastani.
 
1.

1. Inahitaji umakini kwenye kuendesha kwenye barabara mbovu sababu suspension components zake sio imara kivile.
2. Spare parts zinapatikana japo sio kwa wingi kama za Toyota, so sometimes bei zake zinakuwa juu. Inashare parts na Chevrolet Cruze.
3. Inatumia mafuta kidogo hasa kwa matumizi ya mjini...
Aksante sana Mkuu...vp unashauri gari gani mbadala wa hiyo ambayo itakidhi mahitaji yangu hapo juu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No gari nzuri ina sifa zote za kuitwa gari,nimeenda nayo Mwanza na kurudi bila tatizo lolote.....Yaani naipenda km mke wangu wa pili.
Mkuu mwanza dar ulitumia lita ngapi za mafuta

sent from toyota Allex
 
SUZUKI SWIFT ni gari moja ngumu sana na inayovmilia shida za barabara zetu korofi kwani iko juu kiasi cha wastani ambapo haigongi chini pia ni gari enye consumption nzuri ya mafuta na injin ni tammmm balaa
 
Back
Top Bottom