Naomba ufafanuzi kuhusu hii mbolea ya kukuuzia mahindi

Naomba ufafanuzi kuhusu hii mbolea ya kukuuzia mahindi

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Msaada kutoka kwa wakulima na maafisa ugani. Hivi naweza kutumia SA kukuzia mahindi?

Nikiichanganya na superGro?
 
Mi sijui, ila kwanini usijaribu kumtafuta mtaalamu wa kilimo eneo ulilopo kwa detailed ushauri? Tena wa kisasa kabisa, unamfuata tu katika story za kawaida.

Pia ulizia wakulima wenzako wa eneo hilo, mana hizi mbolea kwa Tz zinatofautiana kikanda
 
Maafsa kilimo Hawa vijana wa Sasa hawajui lolote maana hao ni vijana wa Kota..wamekulia mijini
Mi sijui, ila kwanini usijaribu kumtafuta mtaalamu wa kilimo eneo ulilopo kwa detailed ushauri? Tena wa kisasa kabisa, unamfuata tu katika story za kawaida.

Pia ulizia wakulima wenzako wa eneo hilo, mana hizi mbolea kwa Tz zinatofautiana kikanda
 
Mbolea ya SA inafaa kwa mchicha naboga mboga zisizozidi week tatu tu ndugu kuzia na Urea Au YARAMILA KUZIA au sio
 
Msaada kutoka kwa wakulima na maafisa ugani. Hivi naweza kutumia SA kukuzia mahindi?

Nikiichanganya na superGro?
Haina uwiano mzuri wa virutubisho.In fact sio mbelea Kwa Ajili ya mahindi Bali zao lingine au Ardhi yenye shida kubwa ya upungufu wa sulphur.

Ndio zile wanasema inaonhmgeza uchachu wa Ardhi.
 
SA nzuri zaidi kwenye alizeti juu ya uwepo wa sulphur content,SA mara nyingi inatumika kuzalishia kwenye mahindi ukichanganya na CAN na sio kukuzia.
 
Back
Top Bottom