Njoo kwenye duka langu hapa lumumba CCM DAr es salaam , Mbuki Assessories 0682009009 vijana watakuwekea programWakuu habari ya hili jukwaa,ni mara yangu ya kwanza kupost hili jukwaa natarajia ushirikiano mzuri kwa siku zijazo......
Mada ya leo ni kuhusu kujua kufanya kitu kinaitwa "mapping car radio" kama umenunua gari na radio imekuja na lugha ya nchi gari ilikotengenezwa.
Hii njia huwezesha kutumia "car modulator" kwenye gari yako kwaiyo shida yangu nawezaje kupata programu ya kufanya hiyo mapping
Natanguliza Shukrani
sema vijana wenu hapo lumumba huwa wasumbufu njapo wanatafuta riziki ila huwa sio wastaarabu ..Njoo kwenye duka langu hapa lumumba CCM DAr es salaam , Mbuki Assessories 0682009009 vijana watakuwekea program
ni kweli ila njoo tu, kuna parking tutkuhudumia vizurisema vijana wenu hapo lumumba huwa wasumbufu njapo wanatafuta riziki ila huwa sio wastaarabu ..
mkuu shida sio parking nahisi nyie wenye maduka ndo mngeliweka utaratibu mzuri wa kuhudumia wateja .... japo naunga mkono juhudi za vijana kutafuta ila ikishakuwa kero ...ni kweli ila njoo tu, kuna parking tutkuhudumia vizuri
Very true... wale Vijana wamegeuka kuwa kama Mabinti wa kwenye Barbershop, ukifika pamoja na kuaweleza labda unataka hiki yaaaani utasongwa songwa utadhani Upo stendi ya Ubungo na Wapiga debe wa Kizamani.mkuu shida sio parking nahisi nyie wenye maduka ndo mngeliweka utaratibu mzuri wa kuhudumia wateja .... japo naunga mkono juhudi za vijana kutafuta ila ikishakuwa kero ...
unajikuta umefanya kitu ambacho hakijakupeleka
kero sana aiseeh ... mbaya zaidi na walevi humo humoVery true... wale Vijana wamegeuka kuwa kama Mabinti wa kwenye Barbershop, ukifika pamoja na kuaweleza labda unataka hiki yaaaani utasongwa songwa utadhani Upo stendi ya Ubungo na Wapiga debe wa Kizamani. Utaletewa alarm, utaletewa matts, mwingine ataanza scrub ya taa, mwingine ataanza kudrill body aweke vibanio yaaani kero kero keroooo. Kama upo hapo Lumumba waaambie hao Vijana wenu waache usumbufu, wateja wameanza kuwakimbia kwa huu usumbufu wenu.
Wanakera sana utadhani utingo wa ubungo.sema vijana wenu hapo lumumba huwa wasumbufu njapo wanatafuta riziki ila huwa sio wastaarabu ..
Anakusafishia moja makusudi ili show iwe mbaya usafishe na ya pili. Mimi huwa nawakataza.kero sana aiseeh ... mbaya zaidi na walevi humo humo
kuna siku mtu kasafisha taa sijamwambia sikumlipa ukawa ugomvi