Naomba ufafanuzi kuhusu hili ulaji wa mafuta kwenye Suzuki Swift

Naomba ufafanuzi kuhusu hili ulaji wa mafuta kwenye Suzuki Swift

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Nina gari tajwa hapo juu ambayo anaitumia mke wangu, lakini naona kama itanifilisi inatumia sana mafuta ya Lita 1 inakimbia km 6 na wakati nilinunua gari hii nikijua ni nzuri kwenye mafuta, gari haina mis ila ilikuwa inachemsha, nini kinasababisha ulaji mkubwa wa mafuta kwenye magari haya.

1587970997596.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina gari tajwa hapo juu ambayo anaitumia mke wangu, lakini naona kama itanifilisi inatumia sana mafuta ya Lita 1 inakimbia km 6 na wakati nilinunua gari hii nikijua ni nzuri kwenye mafuta, gari haina mis ila ilikuwa inachemsha, nini kinasababisha ulaji mkubwa wa mafuta kwenye magari haya.

View attachment 1431940

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama engine inachensha(overheating( ni kwamba kuna loss of heat energy kubwa na chanzo cha heat enegry kwenye gari ni Mafuta, so lazima gari inywe mafuta balaa.

Afadhali tatizo ushaliona hapo. Tibu hio engine overheating(kuchemsha) na fuel economy ya hio gari itakaa sawa kabisa coz chanzo cha kupoteza mafuta ni hio overheating

Overheating inasababishwa na issue nying kama vle oxygen sensors mbovu. Peleka kwa fundi akague chanzo cha hio overheating au unaweza kunicheki nikuelekeze zaidi
 
Back
Top Bottom