Ibn Mubarak
Member
- Dec 24, 2021
- 5
- 3
Wadau, naomba michango yenu...
Je, ni sawa kwa mtumishi wa uma aliyekuwa akipata posho ya nyumba/house allowance kuacha kupewa na taasisi yake kwa kigezo kuwa yupo masomoni nje ya nchi?
Je, ni sawa kwa mtumishi wa uma aliyekuwa akipata posho ya nyumba/house allowance kuacha kupewa na taasisi yake kwa kigezo kuwa yupo masomoni nje ya nchi?