Naomba ufafanuzi kuhusu kibali cha kutumia gari nchi jirani

msadapadasi

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
504
Reaction score
62
Wakuu naomba kuuliza Mimi ninaishi Mbeya.

Je, utaratibu upoje kama nataka kutumia gari kutoka Malawi au Zambia ikiwa na usajili wa Malawi, kuna namna ya kulipia iwapo nataka kutumia kwa miezi kadhaa then narudisha.

Msaada tafadhali
 
Kabla ya kuvuka Kasumulu/Tunduma unapoingia mara ya kwanza inabidi ulipie kibali Cha miezi mitatu (USD150). Kisha kikiisha muda utakuwa unaenda ku renew makao makuu ya TRA Mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…