Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bachelor of Health Systems in Monitoring and Evaluation

Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bachelor of Health Systems in Monitoring and Evaluation

KISUNZU YP

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
114
Reaction score
37
Habari za humu ndani wakuu, kuna kozi imeanzishwa chuo kikuu cha Mzumbe kwa ngazi ya Bachelor kozi tanjwa hapo juu.

Mimi ni Clinical Officer mwajiriwa wa serikali ninawaza kwenda kuisoma kozi hiyo mwaka wa masomo 2022/23 ila sijui upana wake na kana nikirudi recategorization yake kwa sasa ipo na ina uwanja upi wa fursa.

Nisaidieni hapo
 
Nadhani kwa ngazi ya halmashauri watakubeba tu kama health secretary
Ila wizarani utaenda kwenye unity ya monitoring n evaluation
 
Habari za humu ndani wakuu, kuna kozi imeanzishwa chuo kikuu cha Mzumbe kwa ngazi ya Bachelor kozi tanjwa hapo juu.

Mimi ni Clinical Officer mwajiriwa wa serikali ninawaza kwenda kuisoma kozi hiyo mwaka wa masomo 2022/23 ila sijui upana wake na kana nikirudi recategorization yake kwa sasa ipo na ina uwanja upi wa fursa.

Nisaidieni hapo
Nenda mkuu kama upo in service itakufaa...
 
Health secretary ina kozi yake
Kuna mtu wa BLGM-Mzumbe ni health secretary pahala
Kuna mtu wa PA-Mzumbe ni health secretary pahala.

Kwenye nafasi za kazi,mtoa tangazo atakwambia academic qualification or other related field.
 
Co gani unakimbia wagonjwa..kasome md huko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari za humu ndani wakuu, kuna kozi imeanzishwa chuo kikuu cha Mzumbe kwa ngazi ya Bachelor kozi tanjwa hapo juu.

Mimi ni Clinical Officer mwajiriwa wa serikali ninawaza kwenda kuisoma kozi hiyo mwaka wa masomo 2022/23 ila sijui upana wake na kana nikirudi recategorization yake kwa sasa ipo na ina uwanja upi wa fursa.

Nisaidieni hapo
Hii course imeanzishwa lini?
 
😂😂😂 Bwana mganga...unakimbia MD...Nani atatutibu
 
Back
Top Bottom