Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya tourism

Ninja 1

Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
30
Reaction score
12
habari zenu wanajamvi,

Kama title inavyosema hapo juu. Nimemaliza form 4 mwaka jana na kupata division 3 jijini kampala na sasa nimejiunga na A level.

Sasa kiu yangu ni kusomea elimu yangu ya chuo kikuu nchini Tanzania, kwaiyo ningependa kufahamishwa kuhusu kozi ya tourism particularly tour guiding kuanzia kwenye core subjects mpaka upatikanaji wake wa ajira.

Nawasilisha
 
Hiyo kukuelezea ni maneno mengi rahisi sana ni uingie website ya chuo unachokitaka kama umefaulu vizuri A level ingia www.udsm.ac.tz search prospectus ya mwaka husika afu utafute kozi unayotaka na maelezo utayapata pia waweza fanya hivyo kwa vyuo vingine

Kwanin usisome UG coz utapata tabu Tz maana elimu ya UG na Tz ni tofauti kubwa sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…