Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuta mfugaji anakamu na kuyamwaga kuwa hayafai. sina utaalamu wa kufuga. wataalamu wasaidie.Yanakuaje kuaje hayo madanga mkuu, fafanua kidogo?
Yatabadirika rangi kutoka njano kua meupe. Kama mna mbwa wapeni hayo maziwa msiyamwage watanenepa maana yako full loaded.Nimekuta mfugaji anakamu na kuyamwaga kuwa hayafai. sina utaalamu wa kufuga. wataalamu wasaidie.
Kitaalamu ng'ombe akizaa anatakiwa akae kma siku 7 ivi mtoto awe ananyonya maziwa tuu ili yasafike baada ya siku hizo ndio maziwa yanakua yanafaa kunywewa na Binadamu1. Nitajuaje kuwa maziwa yamekuwa safi tayari kunywewa na binadamu kwa ngombe aliyezaa?
2. Yana athali gani binadamu kunywa madanga?
3. Kwanini huwa yanamwagwa ukikamua?
Ina maana ng'ombe huwa anatoa maziwa ya aina 2?Nimekuta mfugaji anakamu na kuyamwaga kuwa hayafai. sina utaalamu wa kufuga. wataalamu wasaidie.
Ubarikiwe sanaKitaalamu ng'ombe akizaa anatakiwa akae kma siku 7 ivi mtoto awe ananyonya maziwa tuu ili yasafike baada ya siku hizo ndio maziwa yanakua yanafaa kunywewa na Binadamu
Lkn uyo mfugaji ulomkuta ww lbda ndama amefariki ndo mna anafanya ivo
Nadhani utakua umeelewa
Nimekuelewa mkuuKitaalamu ng'ombe akizaa anatakiwa akae kma siku 7 ivi mtoto awe ananyonya maziwa tuu ili yasafike baada ya siku hizo ndio maziwa yanakua yanafaa kunywewa na Binadamu
Lkn uyo mfugaji ulomkuta ww lbda ndama amefariki ndo mna anafanya ivo
Nadhani utakua umeelewa
Alisema hayafai, sababu , hayafai! Zaidi utauliza nini?Ina maana ng'ombe huwa anatoa maziwa ya aina 2?
Sasa unajuaje kama hayafai kwa matumizi?
Wewe kwa nini usingemuuliza hali ya kuwa ulikuwa kwenye sehemu husika?
Shukranubarikiwe sana
Kwa nini hayafai? Kuuliza si ujinga..alisema hayafai, sababu , hayafai! Zaidi utauliza nini?
OkNimekuelewa mkuu
Ndama ananyonya kiasi chake akinyonya mengi inaweza kuleta madhara kwake.Kitaalamu ng'ombe akizaa anatakiwa akae kma siku 7 ivi mtoto awe ananyonya maziwa tuu ili yasafike baada ya siku hizo ndio maziwa yanakua yanafaa kunywewa na Binadamu
Lkn uyo mfugaji ulomkuta ww lbda ndama amefariki ndo mna anafanya ivo
Nadhani utakua umeelewa
Nadhani ni baada ya wiki na ni baada ya kuondoka ule umanjano... Na ni madang'a kaka sio madanga1. Nitajuaje kuwa maziwa yamekuwa safi tayari kunywewa na binadamu kwa ngombe aliyezaa?
2. Yana athali gani binadamu kunywa madanga?
3. Kwanini huwa yanamwagwa ukikamua?
Asante kwa marekebishoNadhani ni baada ya wiki na ni baada ya kuondoka ule umanjano... Na ni madang'a kaka sio madanga
Duuh sisi ambao sio wafugaji akili zetu zilienda mbali sana. Maziwa ya madanga???Nadhani ni baada ya wiki na ni baada ya kuondoka ule umanjano... Na ni madang'a kaka sio madanga
Hahahaha[emoji23]Duuh sisi ambao sio wafugaji akili zetu zilienda mbali sana. Maziwa ya madanga???
Ha yo hayoOooh! Kumbe
Hivyo hayo madang’a ndo colostrum yenyewe??
Maana kwa mama aliyejifungua maziwa ya kwanza kabisa yanakuwa na colostrum nyingi na yanakuwa na rangi cream iliyokolea, na haya ndyo yanayojenga immunity kwa kichanga.
🤝Ha yo hayo