Naomba ufafanuzi kuhusu michango ya NSSF

Naomba ufafanuzi kuhusu michango ya NSSF

Nyamori

Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
6
Reaction score
5
Hivi inawezekanaje muajiri amekwisha peleka mishango NSSF alafu ukienda kuangalia salio ukakuta kuna michango kadhaa imechomolewa wakati kabla ilikua inasoma. Hii kitu imewatokea wanachama kadhaa, naomba ufafanuzi Kwa mwenye ufahamu.
 
Aisee aisee Mimi pia imenitokea hiyo mkuu. Tena Mimi nilishafungua madai, nikapewa hadi tarehe ya makadirio ya kupata mafao yangu. Cha kushangaza juzi nimeangalia Salio kwenye app ya NSSF nikaona Salio limepungua. Ni laki Moja na point hivi haipo. Nikaangalia statement ya kwenye app ya NSSF nikaona Kuna miezi mitatu hela imepungua. Nimejuaje kama imengua???. Nimechukua statement za NSSF ambazo ni za mwezi January, June na May zote ni za mwaka huu, na zote michango ilikuwa inafanana. Baadaye sasa, nikakufungua madai, napo nikapewa statement ya michango ambayo ndiyo nimeidai. Statement hii nayo michango imefanana na statement za miezi niliyotaja hapo. Sasa juzi naingia kwenye app ya NSSF nimeshangaa kuona mafao yamepungua. Laki Moja na point haipo. Hiki ni kitu gani sijui
 
Aisee aisee Mimi pia imenitokea hiyo mkuu. Tena Mimi nilishafungua madai, nikapewa hadi tarehe ya makadirio ya kupata mafao yangu. Cha kushangaza juzi nimeangalia Salio kwenye app ya NSSF nikaona Salio limepungua. Ni laki Moja na point hivi haipo. Nikaangalia statement ya kwenye app ya NSSF nikaona Kuna miezi mitatu hela imepungua. Nimejuaje kama imengua???. Nimechukua statement za NSSF ambazo ni za mwezi January, June na May zote ni za mwaka huu, na zote michango ilikuwa inafanana. Baadaye sasa, nikakufungua madai, napo nikapewa statement ya michango ambayo ndiyo nimeidai. Statement hii nayo michango imefanana na statement za miezi niliyotaja hapo. Sasa juzi naingia kwenye app ya NSSF nimeshangaa kuona mafao yamepungua. Laki Moja na point haipo. Hiki ni kitu gani sijui
Mkuu app ya nssf ulifunguaje?
 
Back
Top Bottom