Hello, Mimi ni mfatiliaji sana wa mambo ya kilimo katika mitandao mbalimbali.
Pitapita zangu youtube nimekutana na tangazo la pampu zinazotumia nguvu za jua(simsolar)
Swali langu ni.
1: hii kampuni iko wapi na vipi mikoani kuna mawakala?
2: Je, ubora wa pampu zao ukoje?
3: gharama za pampu zao ni rafiki kwa mkulima?
4: Je, kuna mtu yeyote humu ambae ni mtumiaji wa pampu hizi ili anipe uzoefu?
NITASHUKRU KWA MICHANGO YENU
Pitapita zangu youtube nimekutana na tangazo la pampu zinazotumia nguvu za jua(simsolar)
Swali langu ni.
1: hii kampuni iko wapi na vipi mikoani kuna mawakala?
2: Je, ubora wa pampu zao ukoje?
3: gharama za pampu zao ni rafiki kwa mkulima?
4: Je, kuna mtu yeyote humu ambae ni mtumiaji wa pampu hizi ili anipe uzoefu?
NITASHUKRU KWA MICHANGO YENU