Naomba ufafanuzi kuhusu suala hili la kurisiti Mtihani

Naomba ufafanuzi kuhusu suala hili la kurisiti Mtihani

KabudiMasta

Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
10
Reaction score
9
Kwema wadau wa Jf, nauliza hivi umemaliza form four umepiga C mbili ya history na kiswahili, na D ya english na mengine F,sasa ukataka kurisiti masomo mengine matano pamoja na english uliyopata D.

Matokeo yakitoka wataunganisha na zile C zangu mbili za first exam au cheti kitatokaje?
 
Duh,dua mana niliona kuna wadau wamesema wanaweka uliyorudia tu, duh nikaona kipengele


Ufafanuzi

Ukirudia mtihani utapewa cheti kingine ambacho kitakuwa tofauti na cha awali maana utakuwa na vyeti viwili.

Ushauri Kama ukipata division four Una we za ukarudia masomo Saba na ukakaza katika kusoma na hatimaye ukapata Cheti cha kuanzia one -three

Ukifanya hivi utakuwa na cheti kimoja kinachoeleweka.

Ila ikiwa hauwezi utarudia masomo ambayo haujafanya vizuri na utapewa Cheti kingine Ila lazima utaandikiwa four , ili uandikiwe one ,two na three au four unabidi kufanya mitihani ya masomo Saba.


Pia necta wameanzisha huduma mpya ya kuunganisha vyeti Ila kuna gharama unalipia sijajua ni sh ngapi Ila haizidi 100K

So all the best
 
Ufafanuzi

Ukirudia mtihani utapewa cheti kingine ambacho kitakuwa tofauti na cha awali maana utakuwa na vyeti viwili.

Ushauri Kama ukipata division four Una we za ukarudia masomo Saba na ukakaza katika kusoma na hatimaye ukapata Cheti cha kuanzia one -three

Ukifanya hivi utakuwa na cheti kimoja kinachoeleweka.

Ila ikiwa hauwezi utarudia masomo ambayo haujafanya vizuri na utapewa Cheti kingine Ila lazima utaandikiwa four , ili uandikiwe one ,two na three au four unabidi kufanya mitihani ya masomo Saba.


Pia necta wameanzisha huduma mpya ya kuunganisha vyeti Ila kuna gharama unalipia sijajua ni sh ngapi Ila haizidi 100K

So all the best
Nakubali,hivyo C zangu wataweka au sio
 
Ufafanuzi

Ukirudia mtihani utapewa cheti kingine ambacho kitakuwa tofauti na cha awali maana utakuwa na vyeti viwili.

Ushauri Kama ukipata division four Una we za ukarudia masomo Saba na ukakaza katika kusoma na hatimaye ukapata Cheti cha kuanzia one -three

Ukifanya hivi utakuwa na cheti kimoja kinachoeleweka.

Ila ikiwa hauwezi utarudia masomo ambayo haujafanya vizuri na utapewa Cheti kingine Ila lazima utaandikiwa four , ili uandikiwe one ,two na three au four unabidi kufanya mitihani ya masomo Saba.


Pia necta wameanzisha huduma mpya ya kuunganisha vyeti Ila kuna gharama unalipia sijajua ni sh ngapi Ila haizidi 100K

So all the best
Na ina maana cheti cha pili kitakua na masomo matano tu niliyorudia?
 
Back
Top Bottom