Naomba ufafanuzi kuhusu ujazaji fomu za maombi ya electronic passport

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Wakuu habari,

Naomba kufahamishwa kwa anaejua hivi inawezekana kujaza form za kuomba passport mara ya pili endapo umeprint za kwanza na ukagundua kuna makosa katika ujazaji? Maana najaribu kuwapigia uhamiaji ili kupata ufafanuzi/ muongozo simu hazipokelewi.

Nawasilisha.
 
vipi ulifanyaje? icho kitu kimenotokezea mimi saivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…