Naomba ufafanuzi kuhusu Walinzi wa Hayati Rais Magufuli

Naomba ufafanuzi kuhusu Walinzi wa Hayati Rais Magufuli

Brother Kaka

Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
90
Reaction score
54
Ningependa kufahamu weledi wa hawa walinzi wawili wa Hayati Rais John Pombe Magufuli. Naona huyu mlinzi mweusi na huyo mwenye sigjda wamekuwa wakipokea sifa kemkemu kutoka kwa Watanzania kwenye mitandao ya kijamii. Mwenye kujua chochote kuhusu taaluma yao atujuze.

images (2).jpeg


Screenshot_20210326-142842_Facebook.jpg
 
Nasikia zilaili alipita katikati yao, sijui walikuwa wamesinzia
 
Back
Top Bottom