Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Na mimi naona ndugu yangu ,ungekuwa udadisi wa technologia tungekuwa mbali sana kama South Africa!Wanajadili walinzi baada ya technology hapa hakuna maendeleo .
Wabongo umbea tu ukishawajua hao walinzi nini kinaongezeka khaaNa mimi naona ndugu yangu ,ungekuwa udadisi wa technologia tungekuwa mbali sana kama South Africa!
Habari mkuu, TB ni nini?Mi nimependa mikanda waliyovaa tu dah. Hadi suti wanavalia TB
Tactical Belt. Ni ngumu na ina buckle inayolock vizuri kukusaidia kubeba mazaga zaga mengine kiunoni huko walikoficha na makotiHabari mkuu, TB ni nini?
Dah nimeghamua kitu hapa,shukrani mkuuTactical Belt. Ni ngumu na ina buckle inayolock vizuri kukusaidia kubeba mazaga zaga mengine kiunoni huko walikoficha na makoti
watanzania wanyonge hao. taif lina kundi kubwa la wapuuziWanajadili walinzi baada ya technology hapa hakuna maendeleo .