NAOMBA UFAFANUZI KWA HILI limekaaje Kisheria

Siande

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
194
Reaction score
58
Eti naombeni ufafanuzi kuhusu hili eti mtu aliyefunga ndoa Kanisani (yaani ndoa ya kikristo) baada ya muda kama miaka mitatu ikatokea kutoelewana wakatengana eti kuna uwezekano wa hiyo ndoa kufutwa na huyo mtua akawa na haki ya kufunga ndoa nyingine ya kikristo kanisani na mtu mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…