Naomba Ufafanuzi Online Content Regulations za TCRA

Kelela

Senior Member
Joined
Nov 7, 2020
Posts
191
Reaction score
308
Habari wa taalamu, Regulation iliyotolewa na TCRA kuhusu uhitaji wa leseni ya maudhui mtandaoni imesema ni kwa wale wanaotoa Predominant Content, ambayo si chini ya 85% kwa wiki. Hii ina maana gani?

Naomba ufafanuzi zaidi kutoka kwa Wanasheria. Nimeambatanisha na sehemu inayotaja hiyo predominant.

Ahsante!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…