Naomba ufafanuzi sheria za chaguzi ndogo.

Naomba ufafanuzi sheria za chaguzi ndogo.

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,567
Habari wana jamvi.
Kwanza niwatakie maandalizi mema ya 25. Dec.
Kama mada ya hapo juu inavyosomeka naleta kwenu ombi nifafanuliwe muda unaokubalika kisheria chaguzi ndogo kufanyika baada ya Mbunge au Diwani kufariki au kukosekana kwa muwakilishi huyo katika nafasi yake.
 
Back
Top Bottom