Wakuu nimepata shida nilikuwa na manzi fulani tuna sex ghafla kondomu ikapasuka na kichwa chote kikatoka nje yule manzi akanishtua nikapoteza stimu hapo hapo na hali yake ya kiafya siifahamu maana tumekutana tu kitaani.
Sasa nipo na mawazo chungu nzima hata kwenda kupima naogopa...naombeni kufahamu je, kuna uwezekano mkubwa nikapata maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa tukio lililonitokea?
Sasa nipo na mawazo chungu nzima hata kwenda kupima naogopa...naombeni kufahamu je, kuna uwezekano mkubwa nikapata maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa tukio lililonitokea?