Naomba ufafanuzi wa hili la Mkopo kupitia mfumo wa ESS

Naomba ufafanuzi wa hili la Mkopo kupitia mfumo wa ESS

komunisti

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
1,173
Reaction score
1,654
Habari wadau,

Kuna mtu aliomba mkopo bank kupitia mfumo wa ESS. Lakini baadaye akaghairi akawasiliana na HR akacancel mkopo. Lakini leo benki wameweka hela kwenye akaunti,sasa je hii imekaaje hapo, mkopo utasomeka kwenye salary slip?
 
Habari wadau,kuna mtu aliomba mkopo bank kupitia mfumo wa ESS.Lakini baadaye akaghairi akawasiliana na HR akacancel mkopo.Lakini leo benki wameweka hela kwenye akaunti,sasa je hii imekaaje hapo,mkopo utasomeka kwenye salary slip?
Atafute hotel nzuri akapumzike walau wiki wakati akifikiria cha kufanya na huo mkopo.
 
Sas utaachaje kusomeka bwege kweli huo
 
Habari wadau,kuna mtu aliomba mkopo bank kupitia mfumo wa ESS.Lakini baadaye akaghairi akawasiliana na HR akacancel mkopo.Lakini leo benki wameweka hela kwenye akaunti,sasa je hii imekaaje hapo,mkopo utasomeka kwenye salary slip?
Sema ni wewe woga wa nini na pesa hujala

USSR
 
Habari wadau,kuna mtu aliomba mkopo bank kupitia mfumo wa ESS.Lakini baadaye akaghairi akawasiliana na HR akacancel mkopo.Lakini leo benki wameweka hela kwenye akaunti,sasa je hii imekaaje hapo,mkopo utasomeka kwenye salary slip?
Uliomba milioni 8 unakutana na milioni 16 😁😁
 
Hehehe kimeumanaa!!!
Mkopo unasomeka kama ulivyo kaka
 
Amefungishwa ndoa ya mkeka. Ila kama anao ushahidi wa ku cancel asitumie hata mia afuate taratibu na ataepukana na hilo deni. Kwa backup ya ofisi ya utumishi pengine mfumo uli misbihave
 
Habari wadau,kuna mtu aliomba mkopo bank kupitia mfumo wa ESS.Lakini baadaye akaghairi akawasiliana na HR akacancel mkopo.Lakini leo benki wameweka hela kwenye akaunti,sasa je hii imekaaje hapo,mkopo utasomeka kwenye salary slip?
Sasa hela imewekwa. Unadhani utaacha kusomeka? Kwamba wamejisahau wakakupa bure? HAKUNAGA..

Mwenye makosa hapo ni HR. Alipaswa awasilishe barua ya kucancel mkopo punde tu ulipokataa. Kama aliwasilisha, basi akupe kwa ushahidi.

Utarudisha kiasi hicho hicho ulichopokea kwa sababu wao ndiyo wameprocess mkopo uliokataliwa.

Kama hakuwasilisha basi imekula kwako. Utaulipa na riba.
 
Sasa hela imewekwa. Unadhani utaacha kusomeka? Kwamba wamejisahau wakakupa bure? HAKUNAGA..

Mwenye makosa hapo ni HR. Alipaswa awasilishe barua ya kucancel mkopo punde tu ulipokataa. Kama aliwasilisha, basi akupe kwa ushahidi.

Utarudisha kiasi hicho hicho ulichopokea kwa sababu wao ndiyo wameprocess mkopo uliokataliwa.

Kama hakuwasilisha basi imekula kwako. Utaulipa na riba.
Kuna chance ya kisheria kwa upande wangu nime cancel na kufuata taratibilu zote kwa upande wao makosa yanatokea mimi nakuwaje victim? Cha maingi asitumie hata mia aanzishe mchakato wa lalamiko
 
Back
Top Bottom