Naomba ufafanuzi wa kisheria hapa

Naomba ufafanuzi wa kisheria hapa

Joined
May 19, 2023
Posts
20
Reaction score
34
Napenda kujua ikiwa mtu au taasisi ikitoa mkopo kwa mtu mwingine lakini ikitokea katika mkataba husika hakuna kipengele cha "loan purpose na madhala yakapatikana ktk mkopo huo, nani kati ya mkopaji na mkopeshwaji atafaidika na hali hiyo mahakamani?
 
Back
Top Bottom