Naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu hili la Halmashauri kutotekeleza hukumu ya Mahakama Kuu

Naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu hili la Halmashauri kutotekeleza hukumu ya Mahakama Kuu

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wanasheria naomba Msaada wenu.

Mimi ni Mmiliki wa Kiwanja chenye Hati Milki ya Miaka 66
Kuna Mtu kavamia hicho Kiwanja kwa Madai ya kutokulipwa Fidia na Taasisi iliyotwaa Maeneo na Kupima Viwanja na Kutuuzia Wananchi Halimashauri.

Nimefungua kesi Baraza la Ardhi la Wilaya na Kushinda Kesi na Mvamizi kuamuliwa kubomoa Kijumba chake na Kijumba hicho kilibomolewa na Dalali wa Mahakama baada ya Tatatibu zote za Ubomoaji KUFUATA Sheria ikiwa ni pamoja na kusainiwa na Mkuu wa Mkoa na Wilaya husika pia kulipa Posho za Polisi kwenye Ofisi ya Rpc kwa Ajili ya Askari watakao kusimamia Zoezi.

Zoezi lilifanyika, baada ya Zoezi Mvamizi alikata RUFAA Mahakama Kuu mara Mbili Lakini ALISHINDWA KESI na MAHAKAMA KUU ikaagiza Kuwa Mvamizi Haki yake ni FIDIA na Mimi ni MMILIKI HALALI wa Kiwanja hicho na MAHAKAMA ikasisitiza Mvamizi alipwe Fidia.
Tatizo lililopo ni HALMASHAURI haitaki Kumlipa Mvamizi Fidia ili Mimi niendelee na Ujenzi wangu.Nimekuwa nafuatilia Ofisi ya Ardhi Halmashauri lakini Nazungushwa na Watendaji Baya zaidi Watendaji Wamempa Barua ya kuruhusu huyo Mtu kuendeleza Kiwanja changu bila Kunijulisha huku Wakijua bado MGOGORO wake haujamalizika na Wakijua kuwa Nakimiliki kwa Hati Milki ya Miaka 66 Na KIDI ya Kiwanja Nalipa Mimi.

Kutokana na Usumbufu huo NAOMBA USHAURI wenu WANASHERIA ili kila mmoja wetu apate HAKI yake kama MAHAKAMA KUU ilivyoutatua Mgogoro na Kuelekeza.

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wanasheria naomba Msaada wenu.

Mimi ni Mmiliki wa Kiwanja chenye Hati Milki ya Miaka 66
Kuna Mtu kavamia hicho Kiwanja kwa Madai ya kutokulipwa Fidia na Taasisi iliyotwaa Maeneo na Kupima Viwanja na Kutuuzia Wananchi Halimashauri.

Nimefungua kesi Baraza la Ardhi la Wilaya na Kushinda Kesi na Mvamizi kuamuliwa kubomoa Kijumba chake na Kijumba hicho kilibomolewa na Dalali wa Mahakama baada ya Tatatibu zote za Ubomoaji KUFUATA Sheria ikiwa ni pamoja na kusainiwa na Mkuu wa Mkoa na Wilaya husika pia kulipa Posho za Polisi kwenye Ofisi ya Rpc kwa Ajili ya Askari watakao kusimamia Zoezi.

Zoezi lilifanyika, baada ya Zoezi Mvamizi alikata RUFAA Mahakama Kuu mara Mbili Lakini ALISHINDWA KESI na MAHAKAMA KUU ikaagiza Kuwa Mvamizi Haki yake ni FIDIA na Mimi ni MMILIKI HALALI wa Kiwanja hicho na MAHAKAMA ikasisitiza Mvamizi alipwe Fidia.
Tatizo lililopo ni HALMASHAURI haitaki Kumlipa Mvamizi Fidia ili Mimi niendelee na Ujenzi wangu.Nimekuwa nafuatilia Ofisi ya Ardhi Halmashauri lakini Nazungushwa na Watendaji Baya zaidi Watendaji Wamempa Barua ya kuruhusu huyo Mtu kuendeleza Kiwanja changu bila Kunijulisha huku Wakijua bado MGOGORO wake haujamalizika na Wakijua kuwa Nakimiliki kwa Hati Milki ya Miaka 66 Na KIDI ya Kiwanja Nalipa Mimi.

Kutokana na Usumbufu huo NAOMBA USHAURI wenu WANASHERIA ili kila mmoja wetu apate HAKI yake kama MAHAKAMA KUU ilivyoutatua Mgogoro na Kuelekeza.

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ingefaa zaidi ungeambatanisha hio hukumu ya mahakama kuu iliyotolewa na kukupatia wewe ushindi.

Lakini kitukimoja nilichostaajabu, ni halmashauri kukuuzia wewe kiwanja ambacho ilitaifisha kutoka kwa mmiliki wa awali. Kisheria serikali inaruhusiwa kuchukua ardhi ya MTU kwa maslahi ya umma tu na si vinginevyo, mfano kuchukua eneo kwajili ya ujenzi wa shule, hospitality, barabara nk. Zoezi hilo la uchukuaji waeneo kwajili ya maslahi ya umma linaambatana na ulipaji wa fidia kwa MTU aliyechukuliwa eneo lake, fidia hio inapaswa kutolewa haraka na yakutosha.

Unaposema halmashauri ilikuuzia kiwanja ulipaswa kutuonyenyesha nyaraka za ununuzi nani haswa alikuuzia kiwanja. Ni halmashauri au ni afisa wa halmashauri? Unapswa kuweka wazi mkataba wa manunuzi na hukumu ili kujua ukweli wa mambo.

NB: Uchukuaji wa eneo la MTU hufwata taratibu na sababu zilizowekwa kisheria
 
Sipendi fujo hizi nikimiliki silaha ntaua sana hawa watu wa ardhi.
 
Ingefaa zaidi ungeambatanisha hio hukumu ya mahakama kuu iliyotolewa na kukupatia wewe ushindi.

Lakini kitukimoja nilichostaajabu, ni halmashauri kukuuzia wewe kiwanja ambacho ilitaifisha kutoka kwa mmiliki wa awali. Kisheria serikali inaruhusiwa kuchukua ardhi ya MTU kwa maslahi ya umma tu na si vinginevyo, mfano kuchukua eneo kwajili ya ujenzi wa shule, hospitality, barabara nk. Zoezi hilo la uchukuaji waeneo kwajili ya maslahi ya umma linaambatana na ulipaji wa fidia kwa MTU aliyechukuliwa eneo lake, fidia hio inapaswa kutolewa haraka na yakutosha.

Unaposema halmashauri ilikuuzia kiwanja ulipaswa kutuonyenyesha nyaraka za ununuzi nani haswa alikuuzia kiwanja. Ni halmashauri au ni afisa wa halmashauri? Unapswa kuweka wazi mkataba wa manunuzi na hukumu ili kujua ukweli wa mambo.

NB: Uchukuaji wa eneo la MTU hufwata taratibu na sababu zilizowekwa kisheria
Halmashsuri ilitwaa Eneo ikalifanyia Uthamini Wahusika Walipa Fidia Halmashauri ikapima Viwanja na kuvitangaza wananchi tulivinunua kutoka HALMASHAURI na Kumilikishwa kwa Hati za Miaka 66 ndio Maana hata Mahakama ilithubitisha Umiliki wangu kuwa HALALI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Halmashsuri ilitwaa Eneo ikalifanyia Uthamini Wahusika Walipa Fidia Halmashauri ikapima Viwanja na kuvitangaza wananchi tulivinunua kutoka HALMASHAURI na Kumilikishwa kwa Hati za Miaka 66 ndio Maana hata Mahakama ilithubitisha Umiliki wangu kuwa HALALI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuhusu Fidia Majedwali ya Fidia yalifuata taratibu zote za KISHERIA ikiwa ni pamoja na kuwekewa SAINI na MKUU wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya husika kisha kupelekwa kwa Mthamini mkuu wa Serikali

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Halmashsuri ilitwaa Eneo ikalifanyia Uthamini Wahusika Walipa Fidia Halmashauri ikapima Viwanja na kuvitangaza wananchi tulivinunua kutoka HALMASHAURI na Kumilikishwa kwa Hati za Miaka 66 ndio Maana hata Mahakama ilithubitisha Umiliki wangu kuwa HALALI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kama utaweza nitumie nyaraka ya hukumu na mkataba wamauziano.

Najua mchezo wa watu wa ardhi
 
Halmashsuri ilitwaa Eneo ikalifanyia Uthamini Wahusika Walipa Fidia Halmashauri ikapima Viwanja na kuvitangaza wananchi tulivinunua kutoka HALMASHAURI na Kumilikishwa kwa Hati za Miaka 66 ndio Maana hata Mahakama ilithubitisha Umiliki wangu kuwa HALALI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Sioni kama kunaugumu kushare nyaraka ya hukumu ya mahakama kuu
 
Kama utaweza nitumie nyaraka ya hukumu na mkataba wamauziano.

Najua mchezo wa watu wa ardhi
Kiwanja sikununua kwa Mtu au kampuni nimenunua Halmashauri mkataba ni Hslmashauri kuniandalia HATI MILKI baada ya kulipa Kodi husika na Kusajiliwa Na Msajili.Pia suala la Umiliki sio Tatizo Tatizo ni Watendaji kutotaka kutekekeza Hukumu kwa sababu zao (Rushwa) upande wa pili


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Serikali inafidia eneo ambalo imetwa kwajili ya maslahi ya umma kinyume na hapo sio sheria
Halmashauri inapotaka Kupima Viwanja lazima iwafidie wenye Maeneo sijui unaposema Serikali inafidia Eneo kwa ajili ya Maslahi ya UMMA sikuelewi kwani Halmashauri Sio Serikali ?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Halmashauri inapotaka Kupima Viwanja lazima iwafidie wenye Maeneo sijui unaposema Serikali inafidia Eneo kwa ajili ya Maslahi ya UMMA sikuelewi kwani Halmashauri Sio Serikali ?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hii sio sheria brother. Halmashauri inapima viwanja na mmiliki wa eneo anapaswa kulipia gharama za upimaji na sio kuchukua eneo, ikiwa mmiliki wa eneo atakosa pesa kwajili ya kulipia gharama za upimaji anaweza kwahiari yake kuuza badhi ya viwanja ili kugharamia upimaji.

Kilichofanyika hapo hakipo kisheria
 
Back
Top Bottom