Naomba ufafanuzi wa Tatizo la "Metabolic disorder" ndio nini?

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Tafadhari naomba maelezo ya kitaalamu kuhusu tatizo la Metabolic disorder na dalili zake. Je tiba yake ni nini?
 
Ni ugonjwa wa kurithi na maranyingi huwatokea watoto, mwili unakuwa hauna uwezo wa kusafirisha protein iliyosagwa (amino acid), mwili unakosa enzymes husika hivyo mtoto anakua na upungufu wa protein mwilini.
 
Kwa kuongezea tu kidogo, metabolism ni process ambayo mwilli hutumia vyakula (wanga, protini na mafuta) ili kupata nguvu na kujijenga. Kwa hiyo matatizo kwenye mfumo huu yanahusu pia mafuta (fat mfano atherosclerosis - kujaa mafuta kwenye mishipa ya damu), wanga (carbohydrates mfano mzuri ugonjwa wa kisukari) na siyo protini pekee,
 
asante mkuu.
 
Ni ugonjwa wa kurithi na maranyingi huwatokea watoto, mwili unakuwa hauna uwezo wa kusafirisha protein iliyosagwa (amino acid), mwili unakosa enzymes husika hivyo mtoto anakua na upungufu wa protein mwilini.
Thanks mkuu.
 
Ufafanuzi mzuri mkuu, thanks.
 
Metabolic Disorder are noninfectious disorder due to genetic manipulation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…