Naomba ufafanuzi

Naomba ufafanuzi

lwampel

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
249
Reaction score
55
Wana jf, naomba mnisaidie ufafanuzi wa neno KARAMU na KALAMU. Kwa kweli maneno haya yananichanganya sana.
 
Karamu: vyakula na vinywaji vinavyoandaliwa kwa shughuli maalum (Kamusi Tuki)
Kalamu: kifaa kinachtumiwa kuandikia kwenye karatasi
 
Back
Top Bottom