prince zodiac
Member
- Jun 27, 2013
- 40
- 9
Naombeni jamani kwa mlioko vyuo, au wale ambao tunataka kwenda vyuoni, hivi 'result slips' za form six ni muhimu kuripoti nazo vyuoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo itakuwa ni muhmu, especialy kutokana na chuo chenyewe. Kuna vyo huwa wanataka kuhakiki watu waliopangiwa, hvyo huitaji viambatanisho vifuatavyo;
1. Academic Certificate/result slip(IV & VI)
2. Birth certificate
3. Leaving certificate (IV & VI)
Haswa, hivyo hakikisha kua hivyo vitu haukosi kwenda navyo.
niende na copy or org