Naomba ufahamu kuhusu procedure za Commission for Mediatio and Arbitration-CMA

quimby_joey

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
390
Reaction score
165
Naomba wadau mnifahamishe procedure inasemaje kwa mtu ambaye amechelewa ku-file complaint CMA, je condonation na form no. 1 zinakuwa filed kwa pamoja?
 
zinakuwa filed pamoja lakini application ya condonation ndio itakayoanza kusikilizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…