Naomba ujuzi Kilimo cha mihogo na viazi vitamu

Naomba ujuzi Kilimo cha mihogo na viazi vitamu

kichwakili

Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
27
Reaction score
23
Habari wakulima wenzangu, mimi ni mgeni katika sekta hii ya kilimo ila kwa sasa nataka kujikita kwenye kilimo cha mihogo na viazi vitamu nina shamba la heka mbili shamba lipo lugwadu lakini sijui pa kuanzia kwa maana kwamba sina ujuzi na kilimo.

Naomba kujuzwa namna ya kuandaa shamba ni kipindi gani kizuri kupanda hili zao la mihogo na viazi vitamu na ni mbegu gani nzuri na za muda mfuko pia nilitaka nilime kwa kukodi gari la kulimia lakini sijui naanzia wapi kupata hiyo huduma na gharama zikoje
 
Mihogo mara nyingi hulimwa kwenye matuta ukikodi gar la kulimia hiyo inakuwa sesa,
Cha msingi nenda kwa afisa kilimo wa eneo ulipo akushauri mbegu inayofaa kupandwa kulingana na hali ya hewa ya eneo ulipo

Pia ili ushauriwe vizuri ungetaja na mkoa ambao unataka kufanya hicho kilimo
 
Mihogo mara nyingi hulimwa kwenye matuta ukikodi gar la kulimia hiyo inakuwa sesa,
Cha msingi nenda kwa afisa kilimo wa eneo ulipo akushauri mbegu inayofaa kupandwa kulingana na hali ya hewa ya eneo ulipo
Pia ili ushauriwe vizuri ungetaja na mkoa ambao unataka kufanya hicho kilimo
Dar es salaam
 
Back
Top Bottom