Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini Jazba zako zinakufanya ufikiri yasiyowezekana. Na wengine nisiwataja tutakwaana humu humu.
Wewe bwana ulikuwepo sema umerudi upya kwa jina jingine,Pale ulipopoteza uelekeo wa kimaadili ukabadili jina lakini haiba yako ni ile ile.Iweje mgeni kuingia na kuanza kukwaana na wenyeji hata kabla ya kukaribishwa?Acha hizoo....MZEE.
Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini Jazba zako zinakufanya ufikiri yasiyowezekana. Na wengine nisiwataja tutakwaana humu humu.
Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini Jazba zako zinakufanya ufikiri yasiyowezekana. Na wengine nisiwataja tutakwaana humu humu.
Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini Jazba zako zinakufanya ufikiri yasiyowezekana. Na wengine nisiwataja tutakwaana humu humu.
Wewe bwana ulikuwepo sema umerudi upya kwa jina jingine,Pale ulipopoteza uelekeo wa kimaadili ukabadili jina lakini haiba yako ni ile ile.Iweje mgeni kuingia na kuanza kukwaana na wenyeji hata kabla ya kukaribishwa?Acha hizoo....MZEE.
Sioni mantiki ya watu kujificha kwa kutumia majina tofauti na yao ni ujinga na woga usiokuwa na maana
Wewe bwana ulikuwepo sema umerudi upya kwa jina jingine,Pale ulipopoteza uelekeo wa kimaadili ukabadili jina lakini haiba yako ni ile ile.Iweje mgeni kuingia na kuanza kukwaana na wenyeji hata kabla ya kukaribishwa?Acha hizoo....MZEE.
Karibu tena kwa jina jipya usiache wasiliana na Maxence Melo!
We mkali! Hata hujakaribishwa umeanza vijembe!!
Karibu JF!!!
Who is to be so special?