Habari Wana jamvi,
Kwanza niwashukuru JF kwa kuanzisha jukwaa muhimu kama hili, mimi jamani kila nikiangalia post za humu naona zinazungumzwa nyumba ninazo ziona mijini na mara chache huku vijijini ikiwa mtu amestaafu[emoji23][emoji23].
Sasa mimi nipo Morogoro Ngerengere nataka kujenga kwa awamu na kwa uwezo nilionao nataka nianze na banda afu nijenge nyumba kubwa pole pole.
Ombi langu wataalamu mnishauri vitu muhimu vya kufanya kulingana na kipato chetu cc wa kuungaunga.
1.Kiwanja kipo ila eneo husika kuna chumvi chumvi
2. Kuna sehemu karibu Kuna kibonde hivyo maji yakijaa husambaa nakuingia katk eneo langu, katk hali km hii natakiwa kutumia mawe, au tofali zetu za kuchoma zinafaa
3. Vitu gani muhimu kufanya ili kuweka ubora wa ukuta kuepusha fangasi nk. Tafadhari kama Kuna mambo mengine ruhusa kuyabainisha ila naomba mzingatie ujenzi wahali yakawaida sana
Kwanza niwashukuru JF kwa kuanzisha jukwaa muhimu kama hili, mimi jamani kila nikiangalia post za humu naona zinazungumzwa nyumba ninazo ziona mijini na mara chache huku vijijini ikiwa mtu amestaafu[emoji23][emoji23].
Sasa mimi nipo Morogoro Ngerengere nataka kujenga kwa awamu na kwa uwezo nilionao nataka nianze na banda afu nijenge nyumba kubwa pole pole.
Ombi langu wataalamu mnishauri vitu muhimu vya kufanya kulingana na kipato chetu cc wa kuungaunga.
1.Kiwanja kipo ila eneo husika kuna chumvi chumvi
2. Kuna sehemu karibu Kuna kibonde hivyo maji yakijaa husambaa nakuingia katk eneo langu, katk hali km hii natakiwa kutumia mawe, au tofali zetu za kuchoma zinafaa
3. Vitu gani muhimu kufanya ili kuweka ubora wa ukuta kuepusha fangasi nk. Tafadhari kama Kuna mambo mengine ruhusa kuyabainisha ila naomba mzingatie ujenzi wahali yakawaida sana