M maya44 Member Joined Jun 29, 2023 Posts 10 Reaction score 6 Sep 12, 2023 #1 Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi?
Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi?
M MZEE RAZA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 3,464 Reaction score 2,454 Sep 12, 2023 #2 maya44 said: Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi? Click to expand... Unataka kukutana nae kavukavu bila condoms?
maya44 said: Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi? Click to expand... Unataka kukutana nae kavukavu bila condoms?
Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Sep 12, 2023 #3 maya44 said: Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi? Click to expand... Warts ni ugonjwa gani?
maya44 said: Samahani naomba kauliza je kama mwanaume amewahi kuumwa warts kwa miezi Sita iliyopita na ameshatibu tatizo kwasasa. Je, endapo nilikutana naye kimwili naweza kupata mambukizi? Click to expand... Warts ni ugonjwa gani?
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 Sep 12, 2023 #4 Kumbi za mikutano ni nyingi kwanini mkutane kimwili?
92 jerrie JF-Expert Member Joined Feb 28, 2022 Posts 7,273 Reaction score 16,705 Sep 12, 2023 #5 Kwanza acha uzungu mwingi. Sema anaumwa kaswende alafu kama ni miezi 6 nyuma na alitumia dawa huyo kapona ila kama alijificha vidonda vikaisha ngoma bado ipo mwilini jipekeche uoze k
Kwanza acha uzungu mwingi. Sema anaumwa kaswende alafu kama ni miezi 6 nyuma na alitumia dawa huyo kapona ila kama alijificha vidonda vikaisha ngoma bado ipo mwilini jipekeche uoze k